Shule ni mahali tunakosomea.
Jina la shule yangu ni Loreto Convent.
Iko katika kaunti ya Mombasa.
Shule yangu iko karibu na Likoni Ferry.
Ilianzishwa na watawa watatu wa Loreto.
Shule yangu ina wavulana na wasichana.
Wasichana huvaa marinda meupe na
wavulana huvalia mashati meupe na
kaptula za khaki.
Shule yangu ina mabasi manne.
Kuna madarasa kumi na tisa.
SHULE YANGU - By Mathew Charo 2B
- Details
- Written by Edgar for LCM Editorial
QUICK LINKS
LATEST LCM ARTICLES
Most READ articles
Login Form
WHO IS ONLINE
We have 291 guests and no members online
